Tuesday, June 17, 2014

UKONGA MAZIZINI WAPATA SHANGWE ZA MESS JACOB,BONY MWAITEGE NA ATOSHA KISSAVA.

By Jimmy  |  7:57 AM No comments


 

Kanisa la pefa kwa Mchungaji Jacob  Elliy lililopo Ukonga Mazizini walipata nafasi ya kusifu na kuabudu na waimbaji Mess Jacob,Atosha Kissava pamoja na Bony Mwaitege...unaambiwa wakazi wa mazizi pamoja na maeneo ya Kitunda,Mwanagati,Mombasa walijitokeza kwa wingi katika ibada hiyo ya kusifu na kuabudu.Picha zifatazo ni matukio ya ibada
 Kushoto ni Bony Mwaitege,Mess Jacob,Atosha Kissava

 

 Watu wakienda sawa na Mess Jacob
 Atosha Kissava kulia akienda sawa
 Mess Jacob akiwa na wachezaji wake

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP