Tuesday, June 17, 2014

BAADA YA SOLOMONI MUKUBWA,PITSON,SASA NI ZAMU YA JIMMY GAIT KUWA BILLIONAIRE.

By Jimmy  |  10:22 AM No comments


Jimmy Gait muimbaji wa Gospel nchini Kenya amepata dili kubwa na kampuni ya J3 International...Jimmy Gait aliyetamba na vibao kama Appointement,Signature,Manyunyu amepata dili hiyo kubwa baada ya kuonekana na baadhi ya wakurugenzi
wa kampuni hiyo siku za usoni.
Habari zilizotufikia unclejimmytemu.com zimesema kuwa amesani na kampuni J3 International  na kumpatia pesa nyingi kwakua kampuni hiyo ni tajiri.Kwa sasa J3 International inatarajia kujenga hospital kubwa zaidi kuliko hospital ya Kenya National Hospital,hivyo Jimmy Gait atakua balozi wa kampuni hiyo.

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP