Monday, June 16, 2014

PICHA PAMOJA NA MATUKIO YA MAOMBI YA WASANI WA BONGO MOVIE SIKU YA JANA NCHI YA AHADI.

By Jimmy  |  8:43 AM No comments

Mchungaji Kiongozi wa Nchi ya Ahadi (Harris Kapiga) siku ya jana katika ibada yake alianda maalumu kwaajili ya kuvunja roho za mauti kwa wasanii wa bongo movie…maombi hayo
yalikua maalumu kuwaombea ulinzi,umoja na wote wanaotamani kuingia katika tasnia ya filamu Tanzania.
Ibada hiyo ya wasanii wa bongo movie iliwakilishwa na Rais wa shirikisho la filamu Tanzania (TAFF) Saimon Mwakifamba.Wasani wengine waliofika pamoja na waimbaji Bahati Bukuku,Dotnata na Mfupe…




 Bahati Bukuku akifanya kweli siku ya jana
Mchungaji Harris akifundisha
 Saimon Mwakifamba Rais wa shirikisho la wasani Tanzania.
Waimbaji waki abudu
Mama Mchungaji akifanya maombi.








Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP