Monday, March 26, 2012

Gospel Star Search yaja kivingine.

By Jimmy  |  1:34 PM No comments

Baada yakuwa Kimya kwa Muda mrefu Gospel Star Search yaja kivingine.Mwenyekiti wa Maandalizi Harris Kapiga amefunguka kwenye Blog hii nakusema watu wakae mkao mzuri kuona vipaji vipya vitakavyo ibuka Mwaka huu 2012.

Wakiwa katika Maandalizi ya Shughuli nzima leo waliongea na washiriki walio shiriki Gospel Star Search ya Mwaka 2005 ambapo mshindi wa shindano ilo alikuwa Jessica Honore Kaziri.
Harris Kapiga mwenye Kofia akieleza jambo kwa washiriki.Kushoto Husdoson Kamoga na Kulia Anna Nelson.

Gospel Star Search itakuwa ya utofauti kwani mwaka 2005 aikuweza kuonekana kwa sana kwenye vyombo vya Tv lakini now kupitia Tv ya Clouds itakuletea mchakato mzima kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Maandalizi HK.
Washiriki wa Mwaka 2005 Gospel Star Search,Wakwanza kulia Jessica Honore aliekuwa mshindi wa kwanza,Jonsiah ivatas,Charles T Mallya,na wamwisho Victor Harron mtangazaji wa Praise Power Radio.
Kamati ya Maandalizi ikipata picha ya pamoja.

Mchakato mzima wa Gospel Star Search utaanza rasmi mwezi April nautachukua miezi mitatu ili kukamilisha zoezi zima nakupatikana mshindi.
Kutoka Kushoto ni Papaa Ze Blogger, Anna Nelson, Michael Nkya, Harris Kapiga, Ikupa Ngao na Husdson Kamoga.
Marketing Executive Michael Nkya kutoka THT kwa makini akifatilia jambo.
Wakali wa Gospel Star Search 2005 wakiimba wimbo wa pamoja,kushoto ni Victor,Jonsiah,Jessica,na Charles Mallya.












Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP