Wednesday, October 22, 2014

UCHE KUFANYA TENA ALBUM NA JOYOUS CELEBRATION,PICHA AKIWA MAZOEZINI NA OFISINI.

By Jimmy  |  8:32 AM No comments

Muimbaji Pastor Uche aliyejipatia umaarufu na kundi kubwa la muziki nchini Afrika Kusini (Joyous Celebration) siku ya leo katika account yake Instagram amepost picha tatu zinazo ashiria kurudi kwenye kundi hilo na kufanya album
ya 19 na Joyous.Baada ya kupost picha hizo maswali mengi alipata kutoka kwa mashabiki wake hivyo kuwaacha na maswali pasipo kujua nini kinafata.
Tazama picha hizo hapo chini kwa hisani ya Unclejimmytemu.com






Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP