Thursday, August 28, 2014

ZAIDI YA MILIONI MOJA YATUMIKA KUTENGENEZA VIDEO YA MIRIAM LUKINDO "AMEN HALLELUYA"

By Jimmy  |  12:35 PM No comments

 Mwanamuziki wa Injili Binti Africa, Miriam Lukindo wa Mauki yuko katika kutengeneza Video yake yenye hadhi ya Kimataifa ya wimbo wa Ameen, Halleluyah.Akizungumza na Unclejimmytemu.com Miriam ameamua kuwekeza katika video hiyo....iliyo mgharimu milioni
moja na laki tano kuanzia shooting,location,video director pamoja na mavazi.
Hii ni hatua kubwa kwa muziki wetu wa Gospel tofauti na miaka 10 iliyopita ambapo muziki ulichukuliwa kama sehemu ya kusifu na kuabudu pasipo kufikiria miaka kumi ijayo na jinsi gani tunaweza kuyafikia mataifa mengine kupitia muziki wetu wa Gospel....Hii itakua video ya pili yenye gharama kubwa ukiacha ya Angel Benard "I need to rain"aliyotumia milioni 5 nchini Kenya.

Video hii inatengenezwa na kampuni ya KINGDOME MEDIA chini ya director Alex Joseck ambaye kwa sasa yupo Tanzania kwa likizo ya mwezi mmoja kutokea Marekani.

 Mtaalamu wa makeup Maznat akimtengeneza Binti Africa
 Paul Clement on action
 Tukimsikiliza Director Alex akieleza umuhimu wa kuwekeza kwenye video bora
 Director Alex na Script Manager Uncle Jimmy tukipeana mawili matatu kabla ya kazi.

 Hapa sijui nilikua namtafuta nanii.....

 CO wa Kingdom Media na CO wa Kiango Media waki tetaa!
Tabasamu la picha mdau wangu...
 Mic ya Camer ya Chomoza ya Clouds TV ikichota yake


 Mtu wangu wa karibu Samuel Sasali akichota yake kwa binti Africa kwenye mic ya Chomoza ya Clouds TV.
Kijana wangu wa kazi Haroun Kuhani akiwa kikazi zaidi.

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP