Tuesday, August 12, 2014

PICHA 30:TUZO ZA TALANTA AWARDS MAREKANI,KENYA YAIBUKA NA TUZO NYINGI.

By Jimmy  |  10:24 AM No comments


Nnchi Marekani siku ya J/mosi kulifanyika tuzo za TALANTA AWARDS kwa mara ya kwanza na kujumuisha watu mbalimbali kutoka kona ya nchi ya Marekani.Ripota wangu wa karibu Alex alikuwepo kwenye tukio hilo na kushuhudia utoaji wa tuzo hizo.
Katika tuzo hizo wa
Kenya waliweza kutwaa tuzo nyingi na kupata shangwe za kutosha
1. SONGWRITER OF THE YEAR;   Benachi
2. BEST STAGE PERFORMANCE KENYA; Willy Paul
3. BEST UPCOMING MALE ARTISTE KENYA;   L Jay Maasai
4. BEST UPCOMING FEMALE ARTISTE FROM KENYA; Liz Namnyak
5. DJ OF THE YEAR; DJ Sadic

Zifatazo ni picha za matukio yaliyojiri katika utoaji wa tuzo hizo mdau wangu

Muimbaji kutoka Kenya Will Paul akifanya yake jukwaani
Hapana chezea huyu kijana




Will Paul akipokea tuzo ya BEST STAGE PERFORMANCE.


Director kutoka Kenya J.blessing naye alipokea tuzo









 Producer Printze Ngosso (Mtanzania) nwenye studio ya Tanzamer Studios alikuwa ni mmoja wapo wa judges na worship leader wa event
DJ Kamfy kwenye one & two
 Antony kamnao alikua mc wa event ....pia ni muimbaji anayetamba na wimbo wake wa Jesus my Daddy




Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP