Monday, June 2, 2014

SHANGWE ZA JOHN LISU MOROGORO NI HATARI.

By Jimmy  |  12:37 PM No comments


 Kanisa la CAANAN CHRISTIAN WORSHIP CENTRE mkoani Morogoro chini ya Askofu Ryoba siku ya jana kulifanyika ibada ya kusifu na kuabudu iliyoongozwa na muimbaji kutoka dar es salaam John Lisu pamoja na wenyeji
kwaya (Kings Choir)
Unaambiwa maelfu ya watu pamoja na wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali vya mkoani Morogoro walikuwepo katika ibada hiyo ya kusifu na kuabudu.Huu ni ufunguzi wa ibada ya kusifu na kuabudu kila wiki ya kwanza ya mwanzo wa mwezi katika huduma hiyo.

Watu Nyomiiii!!
John Lisu akienda sawa mdau wangu


Peopleeeeee!!

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP