Monday, April 21, 2014

ETI INASEMEKANA PASTOR ELISHA MULIRI ANATAKA KUMUUA DADA WA MAREHEMU ANGELA CHIBALONZA.

By Jimmy  |  7:11 AM No comments

Nani mwenye haki ya kuuza nyimbo za Marehemu Anjela Chibalonza?Je Ni Mama yake mzazi? Dada yake? Au aliyekuwa mume wake Pastor Elisha Muliri ambaye kwa sasa ameshaoa.....
au Mke mwingine?Ugomvi mkubwa umezuka kati ya Mmoja wa Dada wa Marehemu Angela Chibalonza na Bwana Muliri aliyekuwa mume wa Angela,ambapo kila mmoja anachodai ni haki yake kuuza nyimbo za marehemu. 
Hali ni tete kiasi cha Muliri kutisha kuua Shemeji yake kama hata koma kuuza nyimbo za Marehemu ambaye Muliri anadai ni mke wake na Shemeji anadai ni dada yake.Kwa maoni yako nani kati yao mwenye haki zaidi ya mwingine kuuza nyimbo za Marehemu Anjela Chibalonza?Dada anamwambia Muliri kifo kiliwatenganisha na umeoa mke mwingine kwa hiyo Angela siyo mke wako kwa sasa na nyimbo zake sisi familia ya Angela ndio tuna haki kuziuza.Naye Bwana Muliri anasema mimi na Anjela tulioana tukawa mwili mmoja hivyo nina haki..
Chanzo cha taarifa Munishi Faustin.













Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP