Kushoto Mwl.Mgisa mtebe mwenyekiti wa shughuli ya Josphine Minza.
Mwanamuziki aliyefanya vizuri wakati wa Sifa
Zivume pamoja na Albam ya John Lisu almaarufu " Josphine Minza" tarehe 22/9/2013 anatarajia kuachilia Albam yake ya 2 ambapo imejaa nyimbo zenye
Ujumbe Mzito kwa ajili ya "Kusifu na Kuabudu".
Uzinduzi huu utafanyika Ccc Upanga kuanzia saa nane mchana hadi jioni hakuna kiingilio mdau wangu.
Kwa maelezo zaidi msikilize hapo chini Josphine Minza akieleza zaidi.
Waandishi pamoja na Christian Bloggers wakiwa busy
Nikiwa na Blogger Nice kikazi zaidi.
0 comments: