Monday, August 12, 2013

UZINDUZI RASMI WA UJIO WA REINHARD BONKE TAG MAGOMENI MIKUMI SIKU YA JANA.

By Jimmy  |  8:30 AM No comments

 MC wa event Samuel Sasali mtu aliye nyimwa urefu akapewa mdomo wakuongea alifanya kweli mdau wangu.

Nimiaka kadha imepita toka mtumishi wa Mungu Reinhard Bonke alipofanya mkutano katika nchi ya Tanzania.Siku ya jana katika kanisa la Magomeni Mikumi TAG kulifanyika uzinduzi rasmi wa shamrasharma za ujio wa mtumishai wa Mungu Bonke.Katika kamati ya maandali ya kuhamasisha vijana kutambua wajibu wao katika kumtangaza kristo na kuachana na madawa ya kulevya Dr.Huruma Nkone ndiye alikua msemaji katika hilo.
Katika kunogesha mnogesho wa event hiyo waimbaji mbalimbali walikuwepo,Upendo Nkone,Miriam Mauki,Glorious worship team,Praise and worship kutoka VCCT na vikundi vingine.
Haleluyaaaaaa.......
Dr.Huruma Nkone akifungua Event
Kijana wa nguvu Johson Bomby alikamua ipasavyo.


Kitu nyomiiiii

Preise ya Vcct ikifanya kweli mtu wangu.
Asikuambie mtu huyu ndugu alinogesha vibaya na vuvuzela.
.
Kushoto ni Mchungaji mwenyeji wa kanisa la TAG magomeni mikumi akiwa na Dr Huruma Nkone.


Upendo Nkone akienda sawa na mashabiki wake mdau wangu.
Binti afrika Miriam Mauki na heri kung'ang'ana.......

Watuweeee hapa chezea jana.
Mamaa na kati ya Kimara Upendo Nkone alifunga event mdau wangu.The end

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP