Thursday, August 8, 2013

UBORA WA DIRECTOR KATIKA UTENGENEZAJI WA VIDEO NDIO UNAOWEZA KUMFANYA MUIMBAJI WA GOSPEL KUPENYA KATIKA NCHI ZA JIRANI NA ULAYA.

By Jimmy  |  8:44 PM No comments

Muimbaji kutoka Uganda "Hawa Bale" amekuwa akifanya vizuri muziki wa injili uliopeleke kumtangaza njee ya mipaka ya Uganda na nchii za njee.Ubora wa kazi zake ndio ulio mfanya kufunga safari hadi nchi ya Kenya kwa director wa video J.blessing ambaye amejipatia jina kubwa nchini Kenya kutokana na kazi nzuri za video anazo fanya.J.blessing ni director aliyeingia kwenye tuzo za MWAFAKA AWARDS zinazo fanyika kenya mwezi ujao akiwa katika Category ya Video Director of the year.
 Hawa Bale.
Tizama video hii iliyo tengenezwa na mkono wa J.blessing mdau wangu.

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP