Tuesday, October 23, 2012

KANISA LA WADVENTISTA WASABATO TANZANIA LASITISHA MAHUBIRI YOTE YA HADHARA KWA SIKU 30 KUFUATIA TAMKO LA SERIKALI...!!

By Jimmy  |  8:15 AM No comments

Mchungaji Mussa Mika Mkurugenzi wa Mawasiliano Tanzania Union
--- 
Kufuatia tamko la Serikali la kupiga marufuku mihadhara yote ya dini kwa siku thelathini kuanzia Oktoba21,2012, Uongozi wa Kanisa la Waadventista wa Sabato Tanzania Unioni,unaelekeza kwamba tuzingatie maelekezo hayo kwa kuahirisha Mahubiri yote ya hadhara au kuyahamishia makanisani, pale itakapowezekana, mpaka marufuku hiyo itakapoondolewa. Tafadhali fikisheni ujumbe huu makanisani. Tunawasihi tumlilie Mungu ili Hali ya Amani na Utulivu irejee mapema na marufuku hii iondolewe.

Mch. Mussa D. Mika 
MKURUGENZI WA MAWASILIANO - TU

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP