Monday, May 28, 2012

4 by 4 ya Erick Brighton Episode 5.Matukio ya Picha mbalimbali.

By Jimmy  |  8:39 AM No comments

Tukiwa wenye furaha siku ya jana nakumshukuru Mungu kwakufanyikisha tukio zima la Harusi ya Kaka yetu Erick Brighton.Ilikuwa nisiku ya furaha na shangwe kwakila aliefika Ukumbini.Twende sawa na Matukio mbalimbali ya Picha.
Baba Mzazi wa Erick Brighton.
Nimelipenda Pozi.Marthar Mwaipaja na Mume wake.
Haigh Table ya familia ya Erick Brighton.

Wa-Mama hawa ni wapenzi wa Kipindi cha Erick,Ukesha nae kuanzia saa nane usiki adi asubui.
Wanakamati,Sailasi kushoto na Mwenyekiti Noel Tenga.
Kulia Kocha wa Gospel Timu na kushoto golikipa Mzungu wa Gospel Timu.
Mashabiki wa Kesha na PPR.
Warembo wa Yesu.
Miss Vero.
Mdogo wa Bwana Harusi Kushoto.
Kuna tatizoooo.Yusufu Magupa.
Mama mzazi wa Bibi Harusi.

Sikiliza Maneno ya Nasaha kwa Baba wa Erick



Nae Mama Mzazi wa Bibi Harusi akito maneno ya Nasaha kwa Mwanae.


Mchungaji akibariki chakula.


Mtayarishaji wa Mziki wa Injili PG akiwa na Ubweche mkononi.

Mh Kunatatizooo.Nikicheko cha furaha.
Gospel Timu wakipata picha ya pamoja na Maharusi.
Wafanyakazi wa PPR fm 99:2 wakitambulishwa na Victor Harron.
Kamati ya Maandalizi ya Harusi ikitowa shukrani wa watu wote waliofika kufurahi pamoja siku ya jana.
Blog inawatakia Maisha mapya na yafuraha katika Ndoa yenu.


















Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP