Friday, April 27, 2012

FRIENDS ON FRIDAY ARUSHA IMETISHAAAAAAAA.

By Jimmy  |  11:21 PM No comments

Kama ni FoF Arusha imekuwa ya Baraka kubwa usiku wa leo.Watu ni wengi kupita maelezo.Na patwa na mkanganyiko ni weke picha gani ili wewe uweze kujionea yanayo jiri Arusha.


Kwa Arusha mtupio ni Nyekundu wakati huo Mbeya wana mtupio Nyeupe na Kakii.

Kamati ya Maandalizi ya Friends on Friday Arusha imedhihirisha Friends on Friday itakayo kuja itakuwa nzuri zaidi ya hii.Jione mwenye utamu wa FoF

Watu wakijiandikisha kuingia FoF

Mtu na Mkewe wakiwa katika usiku wa FoF
Mrembo Joyline from Moshi to Arusha FoF
Wadau wa FoF wakipata Mishikaki

Kitu cha Ubweche pale katiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
Mrembo Dora.

Mc Pilipili akitukumbusha Mchezo wa Lede enzi za Shule ya Msingi.

Mc Pilipili sijui alikuwa anacheza stail gani.Huyu mtuuuuu mh.
Twende kazi kitu cha Kwaito
Kitu Kwaitoooo kwa Madiba


Pastor Laki akizungumzia Changamoto za Maisha na jinsi yakuzi kabili usiku wa Friends on Friday.
Mc Pilipili akiwa na Marafiki zake kutoka Dodoma
Shemeji Edina na Kati ya Dar Mbezi
Mwenyekiti wa Kamati ya Arusha ndugu Elisha Twisa akitambulisha kamati ya Arusha.


Kamati ya Dar es Salamu.

Mwenyekiti wa FoF Dar es salaamu Sam Sasali akitambulisha wana kamati wa Dar
Watu weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.

Hai 5
Hii picha kilicho ni furahisha ni mtupio wa Sam alivyo ufunga kiunoni.Aaaaaa Papaaaa.
Marafiki wa Arusha.

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP