Saturday, April 21, 2012

CHRSTIAN BLOGGERS WAKUTANA LEO ESARP - VILLAGE.

By Jimmy  |  3:03 PM No comments

Katika siku nilizokuwa na Furaha kubwa ni leo.Hakika nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa sana,kumuona Sayuni,Injili ya Kweli,Agapelifechurch,Gospelstandrbase na wengineo wengi tuliokuwa tunakutana katika Event mbalimbali.

Nikiwa mwenye furaha ya kumshukuru Mungu kwa kutukutanisha pamoja Blogger 's kama hatua ya kwanza yakufahamiana nakuweza kupeana mawili matatu kutokana nakazi yetu ya kufikisha habari kwa jamii nakujenga mwili wa Kristo.
Mratibu Sam sasali akiwakaribisha Blogger's kulia ni Uncle Jimmy

Uyu mwenye kofia sijui anaona jua au Pozii.
Blogger wakifatilia jambo kwa Makini.

Uncle jimmy na Musa Billegeya.

Hosanna Inc
Victor akitoa Somo kwa upande wa Technical


Kitu cha Chai baada ya Meeting

Blogger's wakipata Chai
Blogge's
Blogger's Kushoto Victor,Unle Jimmy,Macdaut Shayo.



Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP