Nikweli nimekuwa kimya kwa muda wa Miezi kadha na wengi mmenitumia Comments kulalamika Uncle vp kwa ukimya uliojitokeza.
Ukweli kwamba kwa wote mliotuma Comments kupitia my Blog yangu,Face Book,Email or My Phone juu ya ukimya ambao kilaulipo ingia na kukuta hamna kitu ulikuwa ukikwazika.
Siwezi sema chochote juu ya ukimya wangu sababu ni nje kidogo ya uwezo lakini aikuwa sababu ya kukosa habari au matukio,Lahasha mana kazini ninako fanya kazi [RADIO]pamoja na maisha yanayo nizunguka nisehemu tosha ya kupata habari na matukio mbalimbali.Ninacho weza sema ni mambo ya majukumu ya kimaisha nakauzembe kidogo kutokana na kutingwa na vitu vingine.
Kwakusema hayo niwaombe msamaha or nikuombe radhi kwakuto kupendezwa na hali hii
Mimi ni binadamu kama wewe kunawakati nazidiwa na majukumu kama azidiwavyo mtu mwingine.Nawapenda wote mnaonipenda nakunichukia sababu naamini wote mna sababu za kufanya hivyo.
Nafahamu wewe ni mpenzi wa blog yangu nandio mana uwachi kuitupia macho kujua nini kinaendelea katika upande wa Gosple na Maisha kiujumla.
Tushikane kwa umoja mana kila ukionacho kikubwa leo kilianza kidogo jana.
Wednesday, January 4, 2012
SAMAHANI RAFIKI
By Jimmy |  1:40 AM
No comments
Author: Jimmy
Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.
E-mail Newsletter
Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.
Recent Articles
Popular Posts
-
BONY MWAITEGE,ROSE MUHANDO,CHRISTINA SHUSHO,BAHATI BUKUKU,NEEMA MUSHI-NDANI YA TUZO ZA GROOVE AWARD.Mwaka Jana katika Mashindano ya Tuzo za 'GROOVE AWARD' kwa wanamuziki Kutoka Tanzania mshindi aliibuka Christina Shusho na kutwa...
-
Baada ya kuandika (msg) siku chache katika Facebook kupitia Wall yake sasa albamu yake inapatikana madukani kote,nakuamua kuachia Record ya...
-
MWAKA 1988, RUNGWE, MBEYA “Lusako amka...Lusako amka, niliisikia sauti ya baba yangu, mzee John Bukuku akiniamsha asubuhi sana t...
-
Nimpole katika uso lakini ni mkali wa Sauti ya besi,Si mwingine ni Bibie Bahati Bukuku ambe leo tumepiga story kuhusu mafanikio yake,wapi ...
-
Kati Ya Projects ambazo pia zimenirudisha Mapema Mtaani
-
Sijui kama unajua Hotel ya Kifahari na yenye vivutio vikubwa Duniani iko Tanzania.Leo majira ya saa sita mchana nilipata bahati ya kukutana...
-
hot, hotter, hottest. aiseee huyu mtoto hi ma pipo kama nilivyowaahidi nitawaletea updates sasa Lulu(hot Lulu)yupo kituoni police n...
0 comments: