Saturday, January 28, 2012

By Jimmy  |  8:54 AM No comments

MAZOEZI YAMEPAMBA MOTO KWA MAPROMOTA, WATANGAZAJI NA WAIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI TAYARI KUKABILIA NA TIMU YA BONGO MOVIE SIKU YA KESHO JUMA JUMAMOSI...

Watangazaji wa Praise Power wakiwa tayari kulianzisha boli 

 Mwimbaji Bony Mwaitege aliyevalia tarck na yuko kifua wazi akitafuta position


 Mchekeshaji Chavala (kulia) akiongea na baadhi ya wachezaji

 Wachezaji wakimsiliza kocha wao

Mwimbaji wa nyimbo za injili Bony Mwaitege akiwaweka sawa wachezaji wenzake kwa kuelezea baadhi ya madhaifu aliyoyaona.

 Wachezaji wakipata mawaidha kutoka kwa viongozi wao


 Blogger Rulea Sanga (alishika mpira) na yeye alikuwapo

Msikilizaji mkubwa wa Praise Power, Mama Abuu akiongea na wachezaji akiwemo Mtangazaji wa Praise Power Victor Haron (anayevaa soksi)



Kazi inasonga



Mzee wa Mablogi na website na grfix, Rulea Sanga akitoa huduma ya kwanza kwa mtangazaji wa Praise Power, Kisaka.

Mwimbaji wa nyimbo za injili, Musa Shabani akiwa na furaha ya kufa mtuac

Graphic Designer Rulea Sanga akimchua mchekeshaji wa Gospel, Chavala..baada ya kugongana na mchezaji mwenzake wakati wa mazoezi


Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP