MAZOEZI YAMEPAMBA MOTO KWA MAPROMOTA, WATANGAZAJI NA WAIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI TAYARI KUKABILIA NA TIMU YA BONGO MOVIE SIKU YA KESHO JUMA JUMAMOSI... Watangazaji wa Praise Power wakiwa tayari kulianzisha boli Mchekeshaji Chavala (kulia) akiongea na baadhi ya wachezaji Wachezaji wakimsiliza kocha wao Mwimbaji wa nyimbo za injili Bony Mwaitege akiwaweka sawa wachezaji wenzake kwa kuelezea baadhi ya madhaifu aliyoyaona. Wachezaji wakipata mawaidha kutoka kwa viongozi wao Blogger Rulea Sanga (alishika mpira) na yeye alikuwapo Msikilizaji mkubwa wa Praise Power, Mama Abuu akiongea na wachezaji akiwemo Mtangazaji wa Praise Power Victor Haron (anayevaa soksi) Kazi inasonga Mzee wa Mablogi na website na grfix, Rulea Sanga akitoa huduma ya kwanza kwa mtangazaji wa Praise Power, Kisaka. Mwimbaji wa nyimbo za injili, Musa Shabani akiwa na furaha ya kufa mtuac Graphic Designer Rulea Sanga akimchua mchekeshaji wa Gospel, Chavala..baada ya kugongana na mchezaji mwenzake wakati wa mazoezi
Saturday, January 28, 2012
By Jimmy |  8:54 AM
No comments
Author: Jimmy
Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.
E-mail Newsletter
Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.
Recent Articles
Popular Posts
-
BONY MWAITEGE,ROSE MUHANDO,CHRISTINA SHUSHO,BAHATI BUKUKU,NEEMA MUSHI-NDANI YA TUZO ZA GROOVE AWARD.Mwaka Jana katika Mashindano ya Tuzo za 'GROOVE AWARD' kwa wanamuziki Kutoka Tanzania mshindi aliibuka Christina Shusho na kutwa...
-
Baada ya kuandika (msg) siku chache katika Facebook kupitia Wall yake sasa albamu yake inapatikana madukani kote,nakuamua kuachia Record ya...
-
MWAKA 1988, RUNGWE, MBEYA “Lusako amka...Lusako amka, niliisikia sauti ya baba yangu, mzee John Bukuku akiniamsha asubuhi sana t...
-
Nimpole katika uso lakini ni mkali wa Sauti ya besi,Si mwingine ni Bibie Bahati Bukuku ambe leo tumepiga story kuhusu mafanikio yake,wapi ...
-
Kati Ya Projects ambazo pia zimenirudisha Mapema Mtaani
-
Sijui kama unajua Hotel ya Kifahari na yenye vivutio vikubwa Duniani iko Tanzania.Leo majira ya saa sita mchana nilipata bahati ya kukutana...
-
hot, hotter, hottest. aiseee huyu mtoto hi ma pipo kama nilivyowaahidi nitawaletea updates sasa Lulu(hot Lulu)yupo kituoni police n...
0 comments: