Kesho katika Power Drive tunakutana katika Nani ni Nani kuanzia 16:00-18:00 jioni,ambapo wewe kama Msikilizaji wetu unapiga Simu nakuchagu nani mkali kwako.Namba ya kutuma ujumbe mfupi wa Sms ni 0782-992123.


Mwaka 2008 akaja na Albamu ya {Mpango wa Mungu lazima utimie}Albamu hii imemtangaza vizuri sana kuliko Albamu zote alizowaifanya.Mpango wa Mungu ameifanya katika Studio ya Kameta,nakatika Albamu hiyo nyimbo zilizo mtangaza ni Uwezi Mwenyewe,Usifiwe,Nitendee n.k
Happy Kamili ni Mama mwenye watoto (2) makazi yake ni mkoani Mbea.Kwa sasa Albamu yake inapatikana Madukani kote.Piga Kura yako sasa kupitia 0782-992123.
Madam Ruti Benson Mwamfupe.

Mwaka 2009 alianza kufanya mziki akiwa kama yeye mwenyewe.Ali fanya nyimbo nyingi lakini akuzipeleka hewani,Kwani wakati huwo alikuwa akifanya kama majaribio.Mwaka 2010 alifunga mkanda nakujipanga kwajili yakwenda Nchini Kenya ku-record Mziki
Mwaka 2011 mwezi wa 3 tare 25 Madam Ruti alitua Nchini Kenya nakufanya Mziki chini ya Prdz-Geophrey Abass a.k.a PG.
Jina la Studio hiyo ni House of Grace ambapo waimbaji wengi wa Mziki wa injili ufanyaga kazi apo.

Nyimbo zilizo Mtangaza nikama Amenibamba Yesu,Inapendeza,Nitakutukuza Jehova n.k.Mpigie kura yako sasa Madam Ruti kupitia 0782-992123.
0 comments: