Friday, August 12, 2011

HIVI NDIVYO ILIVYO KUWA Restoration Bash Ndani ya Ndege Beach

By Jimmy  |  4:11 PM No comments

Tarehe 8/8/2011 utambulika kama sikuku ya Nane nane ambapo Makanisa hapa Tanzania ujipa hofu,Lakini hii haikuwa kwa Kanisa la Living Water Makuti kawe.Apostle Onesimo Ndegi aliandaa Restoration Bash ndani ya Ndege Beach ili kuwapa nafasi kama washirika na watu mbalimbali kuwa na nafasi ya Michezo kama sehemu ya Maisha yetu.

Vuta nikuvute mchezo wa Kamba
Mtangazaji wa Praise Power Radio Hadson Kamoga akiongoza Mchezo wa Kamba.
Watu wakifurai pamoja
Nifuraha kwa kwenda Mbele
Apostle Onesmo Ndegi akiongea na Vijana.
Si mchezoo
Vijana wa Ndegi Living water worship Team wakitoa Burudani
Emanuel alimaarufu Masanja Mkandamizaji alikuwepo
Mamboo
Apostle Onesmo Ndegi,Mkewe Lilian Ndegi pamoja na Pastor carlos wakipata Chakula
Mambo ya Ubweche ayakukosa
Sound ya nguvu











Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP