Friday, August 12, 2011

GRM-PRODUCTION

By Jimmy  |  8:47 AM No comments

Siku ya jana nilikwenda kumtembelea rafiki yangu GRM-Makupa ambae kwa Muda mrefu alikuwa masomoni Ulaya.Kwa sasa Makupa yopo in Town Dar-es-salaam akiwa amefungua Kampuni Kubwa naya kisasa yenye vifaa vyote vinavyo husiana na maswala ya upigaji Picha/Video Production.Kiukweli kabisa nina Ndoto kama za GRM siku moja kuwa na vyombo kama alivyo Barikiwa.

GRM-Makupa
Hizi ni baadhi ya Camer kwajili ya Photo.Ni Camer za kisasa ambazo hata uwe Mita Mia moja inakupata vizuri.
Studio ya GRM kwajili ya Photo Manupulation
Video Camer ya Kisasa
Katika kazi wanazo fanya GRM nipamoja na Ku-shooting Vipindi Mbalimbali vya TV PROGRAMS.Picha ma-camer man wa GRM wakifanya Shooting Kipindi Cha Kisura kinacho rushwa na Tbc
Camer man Lusubilo akiwa kazini
Hii ni Studio ilio jengwa ndani ya GRM ambayo Joyce Kiria wa EATV ufanyaga kipindi cha BONGO MOVE.
Fema Show nao nimoja kati ya watu wanao fanya kipindi na Kampuni ya GRM

Makupa akiwa kazini
GRM-Production nikampuni nzuri na yakisasa inayo weza kukizi maitaji yakila mtu hususani katika Sekta ya Film Making,Wedding Ceremonies,Studio facilities,Photo manupulation,Ducumentary,Tv-Programs,and Frames Albams.
Kwa Mawasiliano wanapatikana Samnujoma Road,Sarvery Mlala kuwa Adj.Mlimani city
Tel:+255-658 000 666
Tel:255-786 000 666








Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP