Mwana muziki Kanjii Mbugua kutoka Kenya sio jina geni kwakua amejipatia umaarufu mkubwa Kenya baada ya kuibuliwa na kipindi cha Gospel nchini Kenya kijulikanacho RAUKA.Mnamo mwaka huu mwezi wa 5 kupitia Chomoza ya Clouds TV tuliweza kufanya mahojiano na Kanjii ambaye alitujuza mwishoni mwa mwaka
huu anategemea kufanya shoting ya wimbo wake #AKONAMI*.....kupitia page yake katika mtandao wa facebook ametupia picha akiwa location 16KMs from the Tanzania border.
Video ya wimbo huo inafanywa na super video director J blessing ambaye siku za usoni alikua nchini Marekani baada ya kumaliza masomo yake ya Cinematography.
0 comments: