Tuesday, October 28, 2014

EXCLUSIVE:MCH MABOYA APASUA JIBU LA MISS TANZANIA SITTI MTEMVU

By Jimmy  |  9:38 AM No comments

Kufatia fukufuku la miss Tanzania ambalo linaendelea kwa miss 'Sitti Mtemvu' kufoji umri wa miaka yake katika shindano la miss Tanzaania lililofanyika wiki tatu zilizopita limeleta maneno mengi kwa wapenzi wa shindano hilo.Kufatia kitendo hiko mitandao ya kijami vyombo vya habari kama magazeti na TV vimekua vikilaani kitendo hiko ambacho kinaonekana kama kulifanyika mchezo mchafu kwa kamati ya miss Tanzania.
 Wakati fukufuku hili la miss Tanzania likiwa bado la  moto kila mtu akisubiri hatima yake,Mchungaji Maboya hivi karibuni alikua kwenye mkutano wa nje kwa wiki mbili mkoani Morogoro wilaya ya Ifakara ambapo katika mahubiri yake aligusia uhusiano wa Uzuri na Pesa na kumuhusisha kwa kumtaja alwatani Miss Tanzania SITTI MTEMVU
Kwa hisani ya Unclejimmytemu.com msikilize hapo chini Mchungaji Maboya akieleza uhusiano wa fedha na uzuri mdau wangu.

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP