Mtangazaji wa Kipindi cha Chomoza kinachorushwa na
Clouds Tv, James Temu siku ya Jumamosi ya Tarehe 27 Septemba nimefunga pingu za maisha na mwanadada
Sia Kimaro katika Kanisa la KKKT Kijitonyama.
Mara baada ya harusi kulifanyika tafrija katika Ukumbi wa Lulu, Sinza Mapambano.
Tunamuomba Mungu maisha mema pamoja.
This comment has been removed by the author.
ReplyDelete