Friday, June 13, 2014

MAANDALIZI YA MKESHA WA AFLEWO YAKIWA YAMEKAMILIKA MDAU WANGU.

By Jimmy  |  8:09 AM No comments

 
Maandalizi ya Mkesha wa AFLEWO (Africa Lets Worship) 2014 Maandalizi yakamilika.Mandalizi hayo yaliyoanza tangu mwaka jana kwa usaili wa wanakwaya na ikifuatiwa na mazoezi ya Kuimba na Wanamziki kutoka Makanisa mbalimbali Jijini Dar es salaam.

Mpaka sasa maandalizi tayari yamekamilika kinachosubuliwa na muda kesho saa 3:00 usiku katika Kanisa la City Christian Center Upanga(CCC) karibu na Chuo cha Mzumbe,Siku ya Ijumaa 13/06/2014.

Mkesha huo wa Kusifu,Kuabudu na Maombi kwa ajili ya Afrika na Tanzania utakuwa na Waimbaji zaidi ya hamsini kutoka Makanisa mbalimbali watakuwa kwenye jukwaa moja wakimsifu Mungu 

Waumini,Wachungaji na Maaskofu watakusanyika kumwomba Mungu hasa kwa mchakato mzima wa Katiba mpya na Uchaguzi mkuu 2015.Hakuna Kiingilio.
 
 Mpaka sasa maandalizi tayari yamekamilika kinachosubuliwa na muda kesho saa 3:00 usiku katika Kanisa la City Christian Center Upanga(CCC) karibu na Chuo cha Mzumbe,Siku ya Ijumaa 13/06/2014.

Mkesha huo wa Kusifu,Kuabudu na Maombi kwa ajili ya Afrika na Tanzania utakuwa na Waimbaji zaidi ya hamsini kutoka Makanisa mbalimbali watakuwa kwenye jukwaa moja wakimsifu Mungu 

Waumini,Wachungaji na Maaskofu watakusanyika kumwomba Mungu hasa kwa mchakato mzima wa Katiba mpya na Uchaguzi mkuu 2015.Hakuna Kiingilio.





 

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP