Sunday, June 8, 2014

HONGERA MBUNGE JOSHUA NASSARI KWA KUFUNGA NDOA NA ANANDE NNKO

By Jimmy  |  3:21 PM No comments

Mbunge Joshua Nassari na Anande Nnko wakiwa mbele ya zawadi yao ya
Ng'ombe ilitolewa na waumini wa Kanisa la Kilinga ambako ibada ya ndoa
ilifanyika,kanisa linaloongozwa na Mchungaji Babu.


Mamsapu akianza majukumu ya kuhakikisha Mzee anakuwa nadhifu kila wakati

Bi Harusi Anande Nnko akiwa katika gari tayari kuelekea katika viwanja vya Usa-River Academy.


Baba Mzazi wa Joshua Nassari,Mzee Samwel Nassari akimpongeza mwanae kwa hata hiyo.


Msafara ukaanza safari ya kuelekea barabara kuu ya Moshi/Arusha ukitokea kanisani Kilinga


 Maharusi wakiwa katika gari la wazi huku wakipunga mikono kwa watu waliokuwa barabarani.








Kama kawaida Jasiri haachi asili na muacha asili ni hasidi na hana akili.
 Masanja Mkandamizaji alikuwepo

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP