Wednesday, June 4, 2014

BAADA YA MAHAKAMA KUMUACHIA HURU MCHUNGAJI DANIEL MWASUMBI,SENTENSI KADHA ZA WANAWE NA MAONI YA WATU MAARUFU.

By Jimmy  |  8:12 AM No comments

MAHAKAMA KUU KANDA YA MBEYA LEO JUNE 03 IMEBATILISHA HUKUMU YA KIFUNGO CHA MIAKA 30 JELA ILIYOTOLEWA NA MAHAKAMA YA WILAYA MBEYA DISEMBA MWAKA 2013 DHIDI YA MCHUNGAJI DK.DANIEL MWASUMBI ALIESHTAKIWA KWA MADAI YA KOSA LA UBAKAJI...MAHAKAMA KUU YA TANZANIA KANDA YA MBEYA IMEMSAFISHA MCHUNGAJI MWASUMBI KWA KUIBUA HOJA ZA KISHERIA ZAIDI YA NNE ZILIZOBAINISHA KUWA HUKUMU ILIYOTOLEWA DHIDI YA MCHUNGAJI HAIKUWA SAHIHI.MARA BAADA YA HUKUMU HIYO
KUTOLEWA MWANAE MCHUNGAJI DK.DANIEL MWASUMBI GAMALIEL MWASUMBI AMEMSHUKURU MUNGU KATIKA UKURASA WAKE WA FACEBOOK…HIKI NDICHO ALICHOANDIKA…

Sentensi kadha za wanawe Mwasumbi.




 Maoni ya watu maarufu pamoja na comment kutoka kwenye ukurasa wa facebook wa mtoto wa Mwasumbi (GAMA DANIEL MWASUMBI)










 









Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP