Monday, May 26, 2014

MATUKIO 13 YA HUDUMA YA SPIRIT WORD MINISTRY WANYAMA HOTEL.

By Jimmy  |  9:10 AM No comments



 
 Huduma ya Spirit Word Ministry chini ya Pastor Ceasar Masisi siku ya jana ilianda chakula cha kiroho kwaajili ya kutoa mafundisho yenye kulenga mtazamo mpya katika kizazi hiki cha 2014.Mafundisho hayo yalifanyika siku ya J/pili majira ya saa nane mchana katika
Hotel ya Wanyama iliyopo Sinza mori ambapo wageni mbalimbali walikuwepo akiwemo Askofu Edga Mwamfupe,Pastor Huruma,Stara Thomas,Madam Ruth,Christina Matai,Robert Bukerebe,Mchungaji Elizabeth wa Grace Product na Momoza ya Clouds TV.
Huduma hii itakuwepo kila J/pili Sinza Mori (Wanyama Hotel),nia na madhumini ni kujifunza neno la Mungu hivyo wanakaribisha watu wote dini yoyote.Muda ni saa tisa alasiri hadi saa kumi na mbili jioni.









Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP