Tuesday, April 29, 2014

PICHA 10 ZA WILLY PAUL ALICHOKIFANYA USA PAMOJA NA MAOJIANO NA KINGDOM MEDIA.

By Jimmy  |  1:28 PM No comments


  Willy Paul muimbaji kutoka Kenya alipata nafasi ya kwenda USA kwenye uzinduzi wa albam ya DVD ya mwanamuziki wa injili MISENGE MAKECHI inayokwenda kwa jina la NIGUSE MUNGU,katika uzinduzi huo Willy Paul alipata bahati kufanya mahojiano na kampuni ya Kingdom Media na kueleza mambo mengi.
Kati ya mambo aliyoeleza mdau wangu ni yeye kutamani kufanya kazi na waimbaji wa Tanzania akiwemo Christina Shusho,Boniphace Mwaitege na wengine wengi.Kwa hisani ya Uncle Jimmy soon nakuletea mahojiano yake na Kingdom media wiki ijayo kwenye Chomoza ya Clouds TV.Stay tune mdau wangu.
CO wa Kingdom Media Mr Alex kwenye one & to interview na Willy Paul.
.

 Willy Paul alipoanza kazi jukwaani.
Hapana chezea kizazi cha vijana

On stage Willy akifanya kweli USA

Kama dawa kama kawa

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP