Tuesday, April 22, 2014

Mitupio Ya wanamuziki Wa Injili Ndani Ya Tamasha la Pasaka

By Jimmy  |  10:27 AM No comments

 
Suala la muonekano Kwa wanamuziki wa injili ni suala ambalo limekuwa likijadiliwa sana kwenye vyombo vya habari. Zifuatazo ni picha za wanamuzikiwa Injili na watu maarufu walivyotupia kwenye Tamasha la Pasaka siku ya Jumapili.

 Mwanamuziki Wa Kimataifa Upendo Kilahiro akiwa kwenye muonekano maridhawa
Mwanamuziki Jesca Honore a.k.a Jesca BM akiwa ndani ya Vazi Refu lenye Staha

Hivi ndivyo ambavyo Sura ya Jesca BM ilipambwa na Tabasamu
 Mwanamuziki Kutoka Zambia Ephrahim Sekeleti akiwa kwenye Muonekano wa Kiuanamuziki
Sarah K mama niseme akiwa kwenye Muonekano wa aina yake
 Full Mwonekano wa Sekeleti
La Presidaa Imma Mabisa wa GWT akiwa katika muonekano wa mpangilio
 Red, White and Black
 Debro la Presidaaa and Produce' wa Calvary Band akiwa makini
Pozz la Ukweli la Le Presidaa
Hawa Jamaa ni wa Ukweli Sana kama AKI na UKWA wanaonesha kuwa kucheza Show sio Kuvaa Hovyo nayo ni Kazi
Kila Kazi Na Mwonekano wake
 Baba Watatu yeye aliamua kutokelezea Kitamaduni zaidi
Huyu ni mwanamuziki anayefanya kazi ya Muziki wa Injili nchini Uingereza akiwa ndani ya Pozz la Suti.
 Mkanda wake unaalama ya |M" yaani Masanja. Huyu ndiye ni Masanja Mkandamizaji
 
 Masanja Mkandamizaji
Mess Jacob mwanamuziki makini akiwa Uwanjani
 Evelyne kushoto akiwa na mwenzake Pozz Maridhawa
Evelyne akiwa kikazi ndai ya Uwanja Wa Taifa
 Mamaa na Kati ya Kimara Upendo Nkone akiwa na Vazi la Kiafrica Ndani ya Uwanja wa Taifa
Upendo Nkone






Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP