Thursday, March 27, 2014

UNAWEZA KUSIKILIZA MAONGEZI YA UJIO MPYA WA CHOMOZA YA CLOUDS TV KWENYE GT YA HARRIS KAPIGA HAPA.

By Jimmy  |  5:26 PM No comments

 Tuna kila sababu ya kumshukuru mungu kwa nafasi aliyotupa Chomoza ya Clouds TV kukufikia wewe mdau wetu mkubwa mwenye mapenzi makubwa na kipindi no 1 cha Gospel Tanzania CHOMOZA.Chomoza ilikua ndoto lakini leo imekua ndoto kamili yenye kukufikia wewe mahali popote ulipo Tanzania kupitia runinga yako nyumbani.Kwa sababu hiyo Chomoza inatimiza mwaka mmoja toka kuanza kazi yake Clouds TV,hivyo basi kupitia Clouds fm 88.5 dar es salamu ndani ya kipindi cha GT cha Harris Kapiga
tuliweza kueleza mengi juu ya mwaka mmoja wa Chomoza na jinsi gani Chomoza imejipanga na msimu mpya utakaofata......Kwa habari kamili mdau wangu chukua dakika zako 10 kusikiliza maongeze yangu na Harris Kapiga kwenye studi za 88.5 Clouds fm Dar es salaam

Hapa sijui alikua anafanya nini Harris Kapiga mwee!
Kulia ni Produz wa GT Huruma akiwa na Harris Kapiga.
Nikiendelea kusema yangu

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP