Mchungaji Prosper Kinyaha kutoka usharika wa Kijitonyama.
- Pamela Palm Hongera baba mchungaji
Prosper Kinyaha Asante sana mpendwa wangu Pam, niombee mwenzio
Gloria Albert Hongera sana kaka prosper
Andrew Maganga Hongera Rev, Mungu akutie nguvu ktk utumishi wako
Esnath Stephen hongera sana Mungu wangu akutunze
Prosper Kinyaha Ahsante sana Gloria kwa ujumbe wako mzuri, hasa wa kunitia moyo ktk huduma hii.
Prosper Kinyaha Mwl maganga nashukuru kwa maneno yako mazuri kwangu. Niombee nitumike kwa uaminifu
Prosper Kinyaha Esnat kwakweli ubarikiwe sana rafiki yangu. Niombee niifanye kazi kwa kadri nilivyoitwa kutumika.
Mbonea Godfrey Mfangavo Karibu shambani mwa Bwana maana mavuno ni mengi ila watenda kazi ni wachache..naamini siku moja utavishwa taji ya ushindi pamoja na waaminio wote katika Kristo Yesu.
Prosper Kinyaha Aamen!! Mbonea maneno yako yamenifariji sana. kwakweli sio siri nimeyafurahia saana.
Leonaldi Ezra Mabiki Hongera mtumishi Mungu akubarikiDecember 20, 2013 at 6:57pmZera Balaseka mungu akubariki sana kaka angu kumtumikia mungu ndo kila kitu ubarikiwe
Jesca Sule Hongera kaka, sasa unaitwa baba mchungaji mungu akuongoze kuchunga kondoo wake vema.
Ester Mero Nakuona mchungaji.. Big up my kaka kwa hatua hiyo. Mungu akubariki sana..
Jescar Kimambo shkmoo mchg naomba kwnye maombi yko ya kila cku uwakumbuke vjana kwan hao ndo taifa lakesho , maana tnaangamia,
Emmanueli Mwilonga mungu mkubwa na akutangulie kazi hiyo ni ngumu kwa macho ya bibadamu
John Marreale Hongera mch ndo kazi tulio itiwa na yesu utume mwema
Ismaely Kinyaha Otana MOPIA!
Ruth Maro hongera sana kakangu mungu akutie nguvu ktk utumishi wako
Josephat José Johnson kaka,sasa wewe ni mchungaji?
Richie Wyne Tyjir Hongera sana Mchungaji Prosper Mungu azidi kukubaliki.
Levina Machui Umependeza sana my kaka, but hongera sana na Mungu akutie nguvu. Mavuno ni mengi lakini watenda kazi ni wachache sana.
Levina Machui Umependeza sana my kaka, but hongera sana na Mungu akutie nguvu
G Van WA Nataya samahani mchungaji we ni prosper wa kina njinaely au....
Juliana Mram jaman kaka hongera
Kissa Henry bado jambo moja tu...prosper ndo nalisubiria hapo
Upendo Kiandiko Hongera my mdogo,ukawe mtumishi mwema katika shamba la Bwana,,
Yunasi Issah Hongera sana Mchungaji. Nakutakia utumishi mwema.
Prosper Kinyaha Yeah ndo mimi Prosper yule wa kina Njinaely G Van WA Nataya
Prosper Kinyaha Dada Yunas niombee nitumike kwa uaminifu mwingi, maneno yako nayakumbuka sana, ulinitia moyo nilipokuwa nimeteuliwa.December 21, 2013 at 7:54amProsper Kinyaha Dada Pendo, hakika umekuwa msaada sana kwangu katka maisha yangu,. wewe ni wa thamani sana.
Prosper Kinyaha Kissa jambo gani tena hilo unalosubiria???
Prosper Kinyaha Asanate sana Julliana, kwakweli sijakuona siku ile, ulikuwa wapi?
Prosper Kinyaha Levina rafiki ubarikiwe mnoo, umekuwa bega kwa bega na mimi ukinitia moyo
Emmy Prosper Hongera sana kakangu
Prosper Kinyaha Asante sana Emmy kwa ujumbe wako
Emmy Prosper Karibu sana
Prosper Kinyaha Nimeshakaribia Emmy Prosper
Juliana Mram niko chuo arusha kaka
Prosper Kinyaha Waoh!! Hongera, unasomea kitu gani huko?
Kissa Henry ndoa takatifu prosper kinyaha
G Van WA Nataya Hongera sana mungu akutie nguvu katika utumishi wako...kaka...prosper- Prosper Kinyaha Asante sana G Van kwa kunitia m yanguoyo ndgProsper Kinyaha Asante sana ndugu yangu G Van WA Nataya
Frank Mkopi bwana asifiwe
Julieth Mutabiilwa Conglatulations once again, keshompedwa da sophy nae anabarikiwaDecember 21, 2013 at 7:51pmJudith Munisy Hongera my man of GOD
Humphrey Nkwawi Hongera sn
Brian Meena hongera sana kaka,kinachofata ni kupata mweza then kufunga ndoa then nikija huko utafungisha ya kwangu Mungu akutunze.
Ritha Mende CongratzDecember 23, 2013 at 1:58am ·Annethy Gilberthy Hongera sana... YESU KRISTO Akupe hekima kuliko mfalme Sulemani....- Stephen Silaa ndio baba mchungaji. upo usharika upi?



0 comments: