Sunday, March 30, 2014

EXCLUSIVE:PICHA ZINGINE ZA MIAKA 30 YA NDOA YA MWALIMU CHRISTOPHER NA DIANA MWAKASEGE ZIKO HAPA MDAU WANGU.

By Jimmy  |  5:49 AM 1 comment

Wiki tatu zilizopita Mwalimu Christopher na Diana Mwakasege walifikisha miaka 30 ya ndoa yao.Hivyo basi
kulifanyika sherehe fupi ya kusherehekea ndoa yao jijini Arusha.Sherehe hiyo ilihudhuriwa na Askofu Dr Alex Gehaz Malasusa pamoja na familia ya Mwalimu Mwakasege.



Ndugu pamoja na marafiki wakifatilia tukio hilo....


Vijana wangu the Voice walikuwepo
My friend David Sengati alikuwepo.Asante Sengati

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

1 comment:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP