Tuesday, October 15, 2013

PATA NAKALA YA KITABU CHAKO SASA,KUTOKA KWA FRED MSUNGU..

By Jimmy  |  10:30 AM No comments

Fred Msungu ni kijana mwandishi,pia ni mtoto wa kwanza katika familia ya Mch Dismas P. Msungu,familia yenye watoto wawili.Fred ni kijana anayetoa mafundisho yake kwa njia ya vitabu,maongezi pamoja na kuhubiri.Masomo yake mengi yana mlengo mkubwa sana ya kubadilisha fikra potofu au fikra za kitamaduni zisizo na manufaa na kuingiza fikra mpya chanya zitakazoleta matokeo chanya katika maisha ya mtu mmoja
Hamasa ya kitabu imelenga kuweka akili ya Mungu ndani ya akili na roho za watu kama ilivyo kwenye video yake
akieleza lengo la Mungu na maisha ya mimi na wewe.Katika nyakati zetu kupitia kitabu hiki utagundua Mungu anakuwazia nini na kila anapokutazama anakuonaje,Jenga maisha yako katika mtazamo halisi wa Kiungu juu ya majira yako.Ili kupata nakala ya kitabu hiki kama una love na Fred katika kusupport kazi yake ya uandishi piga simu NO 0653-318117 utaletewa kitabu hiki popote ulipo kwa bei ndogo ya sh 5000/= tu.

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP