Thursday, October 17, 2013

BAADA YA HUDUMA YA ASKOFU MABOYA NORRISTOWN SASA NI ZAMU YA TEXAS.

By Jimmy  |  3:37 PM No comments

 Askofu maboya alifanya ibada ya uamsho na nguvu ya Mungu tarehe 11-13 October 2013 akiwa Norristown,ambapo watu mbalimbali walimpa Yesu maisha yao,pia matendo makuu ya Mungu yalionekana.
Baada ya kumaliza huduma hiyo Askofu Maboya yuko Texas hivyo wakazi wa Texas kwa mawasiliano zaidi ya Askofu Maboya piga simu no 214-868-5151

 Pastor Igogo na Pastor Ency Mwalukasa walihudumu.
 Wakati wa Sifa baada ya shuhuda na matendo makuu ya Mungu


Jimmy Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By Bloggertheme9