Yapo Mambo Mengi ambayo unatamani kuyajua kupitia Muimbaji wa Mziki wa Injili anaefanya vizuri Tanzania,Kenya,Rwanda na Uganda si mwingine ni John Lisu.Siku ya leo amepiga Story na Blog kuhusu maisha yake ya Muziki familia na kauli aliyoitoa Muimbaji Stara Thomas siku chache zilizopita.
Kama kawaida majira ya asubuhi nafika Nyumbani kwa John Lisu nakuanza mahojiano naye.Kabla ya yote nilitaka kujua nini ambacho kilimpeleka Kenya.Unataka Kujua gonga hapa??
Exclusive Uncle Jimmy No 1
Sikuishia hapo nikamuuliza analipi lakusema juu ya Kauli ya Muimbaji Stara Thomas kwa kauli yake ya Waimbaji wa mziki wa Injili hawana Upendo,Ushirikiano na Wanafki.
Exclusive Uncle Jimmy No 2
Nilimuliza pia yapi mafanikio aliyo yapata kwa kazi yake ya Muziki wa Injili aliyoifanya kwa Muda mrefu.
Exclusive Uncle Jimmy No 3
Sifa ya John Lisu popote anapokuwa jukwaani utumia Gita kama kitambulisho kinacho muonyesha yeye nimwanamuziki alie kamilika katika uimbaji.Nikataka kufaham je,mziki wake umepenya katika mipaka ya East nikimanisha Kenya,Uganda na Rwanda.
Exclusive Uncle Jimmy No 4
John ni mtu ambae upenda kucheka sana na mara nyingi usema anapenda kufurahi na hasa kucheka.Lakini ziko tabia ambazo hazipendi hasilani katika Maisha yake.Gonga hapa twende sawa.
Exclusive Uncle Jimmy No 5
John kama leo ingetokea Sheria yakukuzuia wewe kuimba ungefanya kazi gani kwa mfano.
Exclusive Uncle Jimmy No 6
Kila Mtu katika Maisha yake analo jambo ambalo hawezi kusahau iwe kupitia jaribu au kupitia kitu flani kilicho mtokea.Kitu ambacho John hawezi kusahau ni pale Malaika alipomtokea nakuongea nae.Sio kumtokea ndotoni kama wengi wasemavyo bali kwa macho ya Nyama.Sikia maneno yake.
Exclusive Uncle Jimmy No 7
Kwa sasa John Lisu anafurahia Maisha ya Ndoa yake yenye Mwaka mmoja Nanusu toka kufunga Ndoa.Pia Mungu amempatia Mke mwenye uwezo wakupiga Gita kama afanyavyo yeye japo mkewake sio muimbaji.
Pata Video Exclusive Mke wa John akicheza na Gita.
Biblia aikukosea kusema Mungu ukupa wakufanana nawe nimeamini kupitia Familia hii yenye furaha na amani katika Maisha ya Ndoa yao.Nae John Lisu akuacha kunishangaza kwakunipa ladha ya wimbo alio urecord siku 3 nyuma.
Exclusive Uncle Jimmy.
PICHA NANE NIKIWA NYUMBANI KWA JOHN.
0 comments: