Huzuni Kubwa imetanda Nchini Afrika ya Kusini kupitia Kifo cha Muimbaji wa Kundi la Spirit of Praise "Thami Magwaza".Thami amefariki dunia siku ya Jana asubuhi baada ya kukimbizwa Hospitali akiwa amepatwa na Mafua ya ghafla.Akiwa katika matibabu ya haraka ilikuokoa maisha yake,ndipo Mauti ilipo mfika.
Marehemu enzi ya Uhai wake.
Thami Magwaza.
Hakika atakumbukwa kwa Mengi kupitia kipawa alichokuwa nacho,Thami alishafanya kazi na waimbaji Maarufu Afrika ya Kusini kama,Pastor Benjamin Dube, Solly Mahlangu,Keke Phoofolo, Zanele na wengine wengi.
Pata Video ya Marehemu akiwa na Kundi la Spirit of Praise enzi ya uhai wake.
Thami Magwaza.
Hakika atakumbukwa kwa Mengi kupitia kipawa alichokuwa nacho,Thami alishafanya kazi na waimbaji Maarufu Afrika ya Kusini kama,Pastor Benjamin Dube, Solly Mahlangu,Keke Phoofolo, Zanele na wengine wengi.
Pata Video ya Marehemu akiwa na Kundi la Spirit of Praise enzi ya uhai wake.
0 comments: