
Harris Kapiga-Nimeitwa kwenda kutoa somo ni jinsi gani mwanamke alinde ndoa yake isiingie na Mikwaruzo/Kama ipo afanyaje ilikuokoa Ndoa yake.Naamini kupitia uzoefu niliokuwa nao katika ndoa naweza kuwasaidia Mabinti waleo wanaotamani kuolewa.Zipo Changamoto nyingi katika Ndoa ivyo kupitia Women in Balance naimani itakuwa msaada kwao.Mwisho wakunuku.
Hariss Kapiga.Motivational speaker
Kwa mujibu Harris Kapiga event hiyo itakuwa Tarehe 9/june 2012 majira ya 7 mchana mpaka Saa 1 usiku
Kwa mujibu Harris Kapiga event hiyo itakuwa Tarehe 9/june 2012 majira ya 7 mchana mpaka Saa 1 usiku
0 comments: