Tare 20 na 21 Mwezi wa 8 Mwaka huu kulikuwa na Event ya aina yake hapa Dar.Ambayo ili fanyika seemu mbili tofauti.Mlimani City na Mbezi.Uncle jimmy nilipata kuona Show zote mbili zilizo Fanyika.
Una weza usikubaliane nami kwakile utakacho kiona,Lakini Si Mchezo nilicho ona kwa Macho yangu.
Imekuwa kawaida Walokole kuonekana washamba naatujui kitu lakini kadiri siku zinavyo zidi kwenda ulimwengu utashuudia mambo mengi kupitia Event kama izi,naile zana Mbovu kufutika.
Mzigo mzima wa Event ya Mlimani City Si-ndo uapa
MLIMANI CITY HALL
Mbeba Maono ya Event Nzima Isaac Malonga akiongea jambo
alikuwepo
Episode II ya Mbezi katayari utaiyona
0 comments: