JINSI
ULIVYO LEO NI MATOKEO YA ULICHOKISIKIA NA KUKIAMINI
UTANGULIZI
Katika maisha ya
kila siku, kila mmoja kwa upande wake kuna mambo ambayo anayatarajia sanakama matokeo halisi ya kitu fulani aliwahi
kupanga au kuwaza katika maisha yake.Japo kua matarajio hayo hua ni siri ya mtu
binafsi lakini nina uhakika kwa asilimia nyingi sana kwamba kila mmoja wetu
anamatarajio mazuri katika maisha yake.Pamoja na kua kila mmoja wetu anategemea
matokeo mazuri (chanya) lakini kuna kitu cha kwanza kufanya ambacho hicho ndio huleta matokeo
unayoyahitaji,Inawezekana ukawa na matarajio mazuri sana lakini kua na matarajio
(imani juu ya kitu fulani)na mambo makuu na mazuri hiyohaimaanishi tayari umepata uhakika au tiketi
ya kuyafikia matarajio hayona kuyafanya kua kitu harusi.Wapo watu wengi
waliokua na ndoto kubwa (matarajio)lakini hawakuweza kufikia, Na hii ni kwasababu
tu!Hawakutengeza mwanzo wao kuakisi matokeo ya kesho yao.Kua na wazo au
tarajiozuri peke yake si ufunguo wa
mafanikio kuyafikia malengo,