Jaguar ni msanii mwenye mafanikio makubwa na utajiri mkubwa Kenya.Ni muimbaji anayefanya muziki wa bongo flava ambapo kwa sasa yupo katika utengenezaji wa video yake....akiwa katika safari yake nchini
Nigeria,alipita kwa mwana Dada Emmy Kosgei na kupata time ya kubadilishana mawazo mawili matatu alisema Jaguar.Kutokana na Jaguar kupata muda wa kukutana na Emmy ambaye alikua na Mume wake mashabiki wa Emmy wamekitafsiri ni kitendo kizuri na kuonyesha upendo hata kama wao wanafanya muziki wa dunia.....
0 comments: