Majira
ya saa 7 usiku Mariam alisikia Kishindo cha Mlango "Puuu" akastuka
kutoka usingizi. Akapaza Sauti Kumuita mdogo wake mwenye jina la Reuben
kama ndiye aliyefungua mlango, Reuben akasema lla hasha si yeye
aliyefungua mkono.alipokuwa katika hali ya kujiuliza nini kinaendelea
akaona ni vema kwenda sebuleni. Kwa maisha ya kijijini aliamua kuwasha
kibatari ili kuweza kupata mwanga. Alipokuwa anataka kutoka nje moyo
wake ulisita sana akaamua kuchungulia dirishani kwanza. Aliponyemelea
dirisha ghafla nyuma yake akahisi kivuli cha mtu alipogeuka ana kwa ana
akakutana na uso wa jirani yao wa siku nyingi Mr. George akiwa
ameambatana na watu wengine chumbani kwake. Katika hali ya taharuki
akaanza kupiga kelele na muda huo huo Mr. George akazima mwanga wa
kibatari kisha akamkamata Bi Mariam Mkono na kuanza
kuukata na Panga lanye makali. Mr. "George" akafanikiwa kuukata Mkono wake kisha kuwapatia watu waliioambatana nao. Baada ya kumaliza akamwita Bi Mariam kwa jina kuwa ageuke amkate mkono wa pili.
na purukushani Mr. "George" hakufanikiwa kuukata wote na kisha waliamua
kuondoka pasipo umalizia mkono huo ulibaki ukiwa unaning"inia tu. Muda
wote wazazi wake walibaki kupiga kelele tu kwa sababu milango yao
ilikuwa imefungwa kwa nje. Kelele za Mariam pamoja na Wazazi ziliamsha
majirani waliamua kwenda nyumbani kwa akina Mariam.USIKOSE KUTAZAMA KISA HIKI CHA KUSIKITISHA J/PILI 27/8/2014 CLOUDS TV....Kuanzia saa 12:oo hadi saa 1:oo usiku kwenye kipindi cha CHOMOZA YA CLOUDS TV
kuukata na Panga lanye makali. Mr. "George" akafanikiwa kuukata Mkono wake kisha kuwapatia watu waliioambatana nao. Baada ya kumaliza akamwita Bi Mariam kwa jina kuwa ageuke amkate mkono wa pili.

0 comments: