Monday, August 25, 2014

KALI NYINGINE:KIRK FRANKLIN NA SOLLY MAHLANGU KWENYE STAGE MOJA.

By Jimmy  |  9:24 AM No comments

Wakali wa wili wenye uwezo mkubwa katika kusifu na kuabudu Kirk Franklin na Solly Mahlangu wana subiriwa kwa hamu nchini
South Africa…tarehe 28/9/2014 kwenye tamasha kubwa la kusifu na kuabudu litakalo fanyika  “Moses Mabhinda Stadium”.Ni tamsha maalumu kwajili ya kizazi cha sasa na kijacho,kuponya waliofungwa na shida mbalimbali na kurudisha matumaini tena.Ninafasi ya peke kwa Africa Kusini kupokea kutoka kwa wakali hawa.

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP