Thursday, July 3, 2014

KONGAMANO LA VIWANGO LILILOFANYIKA LIVING WATER CENTER HAIJAWAI KUTOKEA.MATUKIO 39 YAKO HAPA

By Jimmy  |  7:36 AM No comments

 Apostle Onesmo Ndegi mwenyeji wa Kongamano hilo
Zilikuwa ni siku sita za kwenda viwango vya juu katika Jiji la Dar es salam Katika Kanisa la Living Water center chini ya Mtumishi wa Mungu Apostle Onesmo Ndegi Katika Kongamano liloitwa Kongamano la Viwango vya Juu (Higher Levels Conference) 

Katika Kanisa la Living Water Center kila mwaka huwa kuna Kongamano kuu linakuwa na watumishi wa Mungu kutoka Makanisa mbalimbali Nchini na nje ya Nchi,kwa mwaka huu alikuwepo Bishop Kameta Dar es salaam,Bishop Oram Mustafa kutoka Arusha Tanzania, Mchungaji Titus Mkama wa Ilala TAG Dar e salaam, Bishop Dr Peter Muteba South Afrika,Bishop Dr.Tengu Yoka kutoka NairobiApostle Aaron Timoth DRC, Dar es salaam Tanzania na wenyeji Apostle Onesmo na Lilian Ndegi.


Watu walipata muda wa kutosha kujifunza Neno la Mungu kwa ufasaha na kuombewa na watumishi wote waliohudumu  katika Kongamano hilo
Living Waters Praise Team,Totoo,Kwaya kutoka Glory Land Arusha,na Kwanya kutoka Nairobi  ndio walihudumu  katika Kongamano hilo,King Chavala naye alikuwepo kufanya vitu vyake!
Bishop Oram Mustafa kutoka Arusha Gloryland International Church
Mchungaji Titus Mkama wa Ilala TAG Dar e salaam
Bishop Dr Peter Muteba South Afrika

Bishop Dr.Tengu Yoka kutoka Nairobi

Living Waters Praise Team walipokuwa wakihudumu katika Kongamano hilo














Katika Siku ya mwisho wa Kongamano hilo kulkuwa na tendo la kumfanya Bishop Dr Peter Muteba South Afrika kuwa mzee wa heshima pia kuingia katika Agano na mtumishi huyo no na uhusiano wao katika Kanisa la Living Water Center kama wanavyonekana katika picha
Bishop Dr Peter Muteba South Afrika akipokea zawadi ya picha iliyochorwa kwa mkono
Champagne kama ishara ya kujipongeza






Totoo Mwanamziki Kutoka South Afrika




Watumishi waliohudumu katika Kongamano hilo,wakwanza  Kushoto ni Apostle Aaron Timoth kutoka DRC,anayefuatia mwenye suti ya kaki ni Bishop.Dr Tengu Yoka kutoka Nairobi Kenya,kisha Bishop.Dr Peter Muteba Afrika kusini, mwenye shati jeupe ni Apostle Onesmo Ndegi mwenyeji,mwisho kulia Bishop Oram Mustafa kutoka Arusha Tanzani
Wakwanza ni mama Apostle Ndegi akiwa na baadhi ya wake wa watumishi walihudumu katika Kongamno hilo


Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP