Monday, June 30, 2014

TUZO ZA BET GOSPEL ARTIST IMECHUKULIWA NA TAMELA MANN.

By Jimmy  |  9:08 AM No comments

 Huko nchini Marekani siku ya jana kumefanyika tuzo za wanamuziki mbalimbali duniani alimaarufu (BET) ambapo katika tuzo hizo hujumuisha Category ya Gospel...kwa mwaka huu  2014 kipengele cha (BEST GOSPEL ARTIST) kilikua kikiwaniwa na waimbaji tano......

1)Donnie McClurkin
2)Erica Campbell     
3)Hezekiah Walker    
4)Tamela Mann*WINNER         
5)Tye Tribbett            
Katika kinyanganyiro hiko Tamel Mann ameibuka mshindi mdau wangu....picha hapo chini Tamel akiwa kwenye pozi la red Carpet
 Tamela Mann kwenye pozi




Jimmy Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

Related Posts

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By Bloggertheme9