Friday, June 20, 2014

MUIMBAJI PEKE KUTOKA TANZANIA AINGIA KWENYE TUZO ZA "BEAT AWARDS'

By Jimmy  |  8:02 AM No comments

 Mwanamuziki wa Injili Sarah Shilla Ndossi amezungumza na Chomoza za Clouds Tv na unclejimmytemu.com  na kuelezakua ameingia katika tuzo zenye jina la "BEATS Awards" zinatotazamia kumalizika mwishoni mwa mwezi huu.
Sarah Shilla ni Mwanamuziki Pekee wa Kutoka Tanzania na Africa Mashariki anayewania Tuzo hizo na mpaka sasa ndiye anayeongoza kwa kupigiwa kura kupitia Video yake ya "RUN".

takumbukwa unclejimmytemu.com  iliwahi kutupia Video ya Mwanadada huyo iliyotengenezwa Kimataifa nchini India.
Mpaka sasa Sarah Ndossi ndiye anayeongoza kwa Kupigiwa kura katika Category ya Gospel, Katika Category ya Video Bora wimbo wake ni wa 38 duniani, na Katika Category ya Makundi jina lake ni la 42.
Tuzo za BEATS zinajumuisha Wanamuziki wa Injili na Wasio Wa Injili katika Category tofauti tofauti.


Namna ya Kupiga Kura...nenda www.beat100.com. kisha fuata maelekezo..

Baada ya maojiano na Chomoza ya Clouds TV ni mwendo wa picha mnato

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP