Thursday, June 19, 2014

IMEBAKI SIKU MOJA ON THE SPOT NA PAUL CLEMENT MDAU WANGU.

By Jimmy  |  7:57 AM No comments

Mdau wangu wa karibu imebaki siku moja wewe na mimi  kujua mengi kutoka kwa Paul Clement.

Unapenda kujua kuhusu muziki wake,pamoja na kile atakachofanya tarehe 22 JUNE  at VCCT?Basi kutana naye ON THE SPOT LIVE siku ya Ijumaa.

-Kumbuka ni Ijumaa ya wiki hii kuanzia saa 7-8 mchana katika page yetu ya facebook ya Chomoza ya Clouds TV, utauliza swali lako naye atakujibu LIVE kwenye comment yako.

Mwambie na rafiki yako!











Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP