Thursday, June 26, 2014

EXCLUSIVE:PICHA 7 NILIPOFIKA NYUMBANI KWA MBASHA MDAU WANGU

By Jimmy  |  10:37 AM No comments

 Wakati kesi ya kutuhumiwa ubakaji ikiendelea kwenye Mahakama ya Wilaya ya Ilala Dar jana nilifunga safari hadi nyumbani kwa Mbasha.Kikubwa kilicho nipeleka
ni kupata majibu ya maswali yenu wadau,mliokua mkiniuliza baada ya tukio hili kutokea.
Mbasha alinieleza mambo mengi mdau wangu,hivyo na kuaidi kukuletea mahojiano yangu ya kwanza na Emmanuel Mbasha soon.Zifatazo ni picha 7 nikiwa na Mbasha nyumbani kwake Tabata Chang'ombe..... 

 Hapa akinionyesha baadhi ya picha baada ya kurudi nyumbani kwake siku ya kwanza na kukuta umati wa watu
 
 Endelea kufatilia unclejimmytemu.com yapo mengi utayajua kuhusu Mbasha,wapi alijificha baada ya kutokea tuhuma,akiwa safarini kurudi dar alivaa nini,kwa nini watu wa Tabata Chang'ombe walipo muona walifurika nyumbani kwake...

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP