Friday, June 27, 2014

BAADA YA KUA KIMYA KWA MUDA MREFU,JOHN KOMANYA KUJA NA AUDIO CD AND DVD.TAZAMA PICHA 21 ZA BEHIND THE SCENE

By Jimmy  |  9:45 AM No comments



 Kama ni mfatiliaji wa muziki wa injili Tanzania jina la Apostle John Komanya sio jina geni kwenye tasnia ya muziki wa Gospel Tanzania.Ni muimbaji mwenye huwezo mkubwa katika sauti pamoja na utunzi wa nyimbo.John Komanya alitamaba na wimbo wake wa 'ZAWADI GANI' wimbo
wenye umaarufu mkubwa kila kona ya Tanzania.
Kwa sasa John Komanya yupo na Band ya (Joy Band) yenye masikani Kiluvyia wakiwa tayari na albums mbili ya audio CD and DVD.John Komanya yupo kwenye maandalizi ya uzinduzi wa albums hizi  tarehe 14 september ambapo soon mdau wangu utaweza kujua shughuli hii itafanyika wapi...kwa hisani ya unclejimmytemu.com tazama picha za behind the scene ya utengenezaji wa DVD.
















Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP