Friday, May 30, 2014

MPAKA SASA NA LIST YA WAIMBAJI 5 WANAO MILIKI STUDIO.FELIS MUBIBYA AMENGIA KWENYE LISTI HII

By Jimmy  |  11:03 AM No comments

Baada ya Steven Wambura,John Lisu,Samuel Yonah,Flora Mbasha,sasa ni zamu ya Felis Mubibya muimbaji anayefanya vizuri nchini Marekani,kwa sasa anamiliki
home studio akiwa kwenye harakati za kufungua studio kubwa.Felis ambaye kwa muda mrefu alikua akisomea Sound Engineering kwenye chuo cha AIA (Audio Institute of America) ameamua kufungua studio hiyo ili kumpa nafasi yeye kutengeneza muziki wake pasipo bugudha.
Felis anaingia kwenye horodha ya www.unclejimmytemu.com ya waimbaji wa tano wanaomiliki studio zao binafsi,kwa sasa Felis yuko chuoni akisomea Degree ya muziki.

Home Studio

Author: Jimmy

Hello, I am Author, decode to know more: In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. In commodo magna nisl, ac porta turpis blandit quis. Lorem ipsum dolor sit amet.

0 comments:

E-mail Newsletter

Sign up now to receive breaking news and to hear what's new with us.

Recent Articles

© 2014 Uncle Jimmy | Distributed By My Blogger Themes | Created By BloggerTheme9
TOP